Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana
akishona nguo kwenye kituo cha ushonaji cha Veronica Simba (kushoto)
alipokagua kituo hicho enbeo la Mombo Sokoni, leo Septemba 27, 2014,
akiwa katika ziara kukagua na kuhimiza utekeleza w ilani ya CCM, katika
wilaya ya Korogwe mkoani Tanga. Kulia ni Mbunge wa Korogwe Vijijini,
Stephen Ngonyani.
TUNASHONA HIVI: Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimuelekeza Katibu wa NEC
Itikadi na Uenezi Nape Nnauye kushona nguo kwenye ofisi ya Veronica
Simba (kushoto) iliyopo Mombo Sokoni.Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wakinunua matunda kwenye banda ya mfanyabiashara ya matunda hayo, mjini Mombo, kabla ya kwenda kwenye mkutano wa hadhara, leo Septemba 26, 2014.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye (katikati) wakiwapungia mikono wananchi walipowasili kwenye uwanja wa mkutano mjini Mombo leo Septemba 26, 2014
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Mombo ambapo aliwaambia wananchi hao wanachofanya wapinzani ni biashara, kwani kwao kuandamanisha watu ni mtaji mzuri wa kuwaingizia pesa kutoka nje.
Umati wa watu ukimsikiliza Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na na Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Tanga Aisha Kigoda pamoja na Mjumbe wa NEC wilaya ya Korogwe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi mkoani Tanga Dk. Edmund Mdolwa wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika Mombo.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Mombo.
Wananchi wakifuatilia mkutano wa Kinana mjini Mbombo
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa amekaa kwenye kiti tayari kupokea zawadi kutoka kwa wamasai wanaoishi Mombo.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokea zawadi kutoka kwa wamasai wa Mombo.
Katibu wa CCM, Abdulrahman akipeana mkono wa shukrani kwa kiongozi wa wamasai wa Mbombo Samng'o Maikaambaye [ia ni mwenyekiti wa Tawi la Chang'ombe ,Mombo.