Pages

KAPIPI TV

Friday, September 26, 2014

MKUTANO WA WANAHISA WA TBL WAFANA.

 Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Waziri Mkuu Mstaafu, Bw. Cleopa Msuya akifafanua jambo, wakati akizungumza na wana hisa wa kampuni hiyo, wakati wa Mkutano Mkuu wa mwaka, uliofanyika Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa TBL, Bw. Roberto Jarrin na Kampuni wa Kampuni hiyo, Bw. Huruma Ntahema.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Waziri Mkuu Mstaafu, Bw. Cleopa Msuya akifafanua jambo, alipozungumza na wana hisa wa kampuni hiyo, wakati wa Mkutano Mkuu wa mwaka, uliofanyika Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa TBL, Bw. Roberto Jarrin. (Na Mpigapicha Wetu)
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Bw. Roberto Jarrin (kulia), akitata jambo na Maofisa wa shirika hilo, Mkurugenzi wa Afrika Mashariki, Bw. Mario Van Gelden (kushoto) na Mkurugenzi wa Rasilimari watu, Bw. David Magese, wakati wa Mkutano Mkuu wa mwaka wa wana hisa, uliofanyika Dar es Salaam
 Mkurugenzi akibadilishana mawazo na baadhi ya wanahisa wa TBL
Msuya akibadilishana mawazo na viongozi wa TBL WAKATI WA MKUTANO HUO
 Baadhi ya wanahisa wakiwa katika mkutano huo
 Mmoja wa wanahisa akiuliza swali katika mkutano huo
 Mwanahisa akiuliza swali katika kijiji hicho
 Meza kuu
 Wanahisa

No comments: