Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasili katika kitongoji cha Kwesimu wakati alipokitembelea kikundi cha kuhifadhi Mazingira katika eneo hilo ambapo ameshiriki kazi za mikono za kuotesha miche katika kikundi hicho, Kinana leo ameanza ziara ya kikazi wilayani Lushoto akikagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza wananchi kushiriki katika shughuli za maendeleo, akiwa ameongoza na na Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi katikati na kulia ni Mh. Henry Shekifu Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-LUSHOTO-TANGA)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kwa vitendo katika kazi ya kuotesha miche ya miti wakati alipokitembelea na kukagua shughuli za kikundi cha kutunza Mazingira cha Kwesimu wilayani Lushoto. Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi akipiga gitaa huku akiimba kabla ya kunaza kwa kikao cha ndani cha halmashauri ya wilaya ya Lushoto.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM wilaya ya Lushoto Baadhi ya wajumbe wakiwa katika mkutano huo.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki katika ujenzi wa ofisi ya CCM tawi la Jegestal mjini Lushoto. Baadhi ya miche ambayo imeoteshwa na kikundi cha kutunza mazingira cha Kwesimu mjini wilayani Lushoto.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwapungia wananchi mkono mara baada ya kuwasili katika kata ya Mlola ambapo amewahutubia wananchi. Baadhi ya wananchi waliohudhuria katika mkutano huo. Baadhi ya wananchi waliohudhuria katika mkutano huo.
Mbunge wa jimbo la Korogwe vijijini Mh. Steven Ngonyani akiwahutubia wananchi wa Mlola wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika kata hiyo leo Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi akiwahutubia wananchi wa Mlola wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika kata hiyo leo Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisisitiza jambo wakati akiwahutubia wananchi wa Mlola wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika kata hiyo leo Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa Mlola wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika kata hiyo leo Mkuu wa wilaya ya Lushoto Mhe. Majid Hemed Mwanga akifafanua jambo kwa wananchi mbele ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana wakati wa kipindi cha maswali na majibu kwa wananchi. Mmoja wa akina mama waliofika kwenye mkutano huo akiuliza swali kuhusu mambo ya afya.
No comments:
Post a Comment