Baadhi ya akina mama wajawazito ambao wamelazwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Tabora Kitete wakisubiri kujifungua,katika kitanda kimoja chenye upana wa futi mbili na nusu wanalazimika kulala akina mama wawili hadi watatu kutokana na ufinyu wa nafasi na upungufu wa vitanda. |
No comments:
Post a Comment