Pages

KAPIPI TV

Wednesday, August 13, 2014

KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA NCHINI AKUTANA NA UJUMBE KUTOKA KAMPUNI YA EQUATOR AUTOMECH LEO JIJINI DAR ES SALAAM

image
image_1
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Equator Automech, Robert Ndege(wa kwanza kushoto) akielezea namna Kampuni yake itakavyoshrikiana na Jeshi la Magereza kupitia Shirika lake la Magereza katika miradi mbalimbali ya Uzalishaji ikiwemo ya Kilimo(katikati) ni Mkurugenzi Mshauri wa Kampuni hiyo, Ahmed Bakari akifuatilia mazungumzo hayo.
photo
Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza wakifuatilia mazungumzo ya namna Kampuni ya Equator Automech itakavyoshrikiana na Jeshi la Magereza kupitia Shirika lake la Magereza katika miradi yake ya Kilimo. Mazungumzo hayo yamefanyika leo Agosti 13, 2014 Jijini Dar es Salaam(wa kwanza kulia) ni Kamishna wa Sheria na Uendeshaji wa Magereza, Dkt. Juma Malewa(wa pili kulia) ni Kamishna wa Fedha na Utawala wa Magereza, Gaston Sanga(katikati) ni Mkuu wa Kitengo cha Kilimo na Mifugo, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza, Mlasani Kimaro(wa kwanza kushoto) ni Mthibiti wa Fedha wa Jeshi la Magereza, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza, Gideon Nkana(wa pili kushoto) ni Mwanasheria wa Jeshi la Magereza, Mrakibu Mwandamizi wa Magereza, Issack Kangura(Picha zote na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).

No comments: