Pages

KAPIPI TV

Monday, July 21, 2014

WANAWAKE WATWANGANA SOKONI HUKU WAKIWA NA SWAUMU-TABORA







Baadhi ya wanawake watatu katika soko la mkulima Tabora mjini wamejikuta wakipeana kipigo kikali mchana kweupe wakati walipokuwa wakifanya biashara za mbogamboga hatua ambao ilisababisha kuharibu sehemu ya bidhaa wanazouza ambapo muda mfupi baadae waliamuliwa ugomvi huo na askari polisi Fakih Abdul aliyekuwa akipita sokoni hapo,hata hivyo chanzo cha ugomvi huo kimetokana na mmoja wa wanawake hao kuwa mbabe kwa wenzake na hivyo kushindwa kumvumilia kutokana na vituko vyake. 

No comments: