Pages

KAPIPI TV

Saturday, July 26, 2014

KUTAYBA SACCOSS YATOA MSAADA WA CHAKULA KWA WATOTO YATIMA KWA AJILI YA SIKUKUU YA EID-FITR-TABORA

Mratibu wa asasi ya Kutayba Saccoss Bw.Ramadhani Mdula akikabidhi msaada wa chakula kwa mmoja kinamama ambao ni waangalizi wa Kituo cha Kulea Watoto Yatima cha Igambiro kilichopo nje kidogo ya manispaa ya Tabora.
Baadhi ya watoto wakiangalia zawadi ya Chakula walichopatiwa
Wapo baadhi ya watoto yatima ambao ni wakubwa wamekuwa wakiishi kwenye Kituo hicho na kusaidia kuwabeba wenzao ambao ni wadogo zaidi hii inaonesha wazi watoto hawa wamekuwa wakipendana.







No comments: