Pages

KAPIPI TV

Saturday, July 26, 2014

JANUARY MAKAMBA AONGOZA MKUTANO WA WANAMUZIKI WA MUZIKI WA INJILI NA WASAMBAZAJI ULIOFANYIKA LEO HOTELI YA WANYAMA SINZA JIJINI DAR ES SALAAM

Rais wa Shirikisho la Muziki wa Injili Tanzania (TAF), Ado Novemba
Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Mhe. January Makamba (kulia), akizungumza na wadau wa Muziki wa Injili Tanaznia Hoteli ya Wanyama Sinza Dar es Salaam leo.
Rais wa Shirikisho la Muziki wa Injili Tanzania (TAF), Ado Novemba (kushoto), akizungumza na wadau wa Muziki wa Injili Tanaznia Hoteli ya Wanyama Sinza Dar es Salaam leo kabla ya kumakribisha mgeni rasmi wa mkutanmo huo, Mhe. January Makamba.
Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Mhe. January Makamba, akisalimiana na Mzee Makassy.
Mwimbaji, Adelita Mshumba akitoa burudani katika mkutano huo.
Wanamuziki wa nyimbo za Injili wakiwa kwenye mkutano huo. Kutoka kulia ni Enock Jonas, Dyna Sakatebela na Joyce Ombeni.
Viongozi mbalimbali na wadau wa muziki wa Injili wakiwa wamejipanga foleni wakati wakisubiri kumpokea mgeni rasmi wa mkutano huo, Mhe.January Makamba.
Mwanahabari wa Kituo cha TV 1, Gervas Mwaitebela naye alikuwepo kupata taarifa za mkutano huo.
Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Mhe. January Makamba, akisalimiana na Ofisa Mtendaji Mkuu wa COSOTA, Doreen Sinare.
Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Mhe. January Makamba, akisalimiana na Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanamuziki Tanzania (TAMUNET), John Kitime.
Rais wa Shirikisho la Muziki wa Injili Tanzania (TAF), Ado Novemba (kushoto), akimuongoza mgeni rasmi Mhe. January Makamba kuingia ukumbini.
Viongozi mbalimbali wakiwa kwenye mkutano huo.
Wadau wa muziki wa Injili wakiwa kwenye mkutano huo.
Katibu wa Shirikisho la Muziki wa Injili John Shaban akiendesha mkutano.
Wadau wa eneo la usambazaji wa kazi za wanamuziki wakiwa kwenye mkutano huo.
Wadau wa muziki wa Injili wakiwa kwenye mkutano huo.
Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanamuziki Tanzania (TAMUNET), John Kitime, akizungumza na wadau hao katika mkutano huo
Ofisa Mtendaji Mkuu wa COSOTA, Doreen Sinare (kulia), akitoa ufafanuzi wa masuala mbalimba kwa wadau wa muziki wa Injili. Wa pli kulia ni Muimbaji wa nyimbo za Injili, Christina Shusho.
Balozi mstaafu, Profesa Coster Mahalu akizungumza na wadau wa muziki wa nyimbo za Injili. Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Kinondoni Revival Choir, Dk. Jotham Mackenzie
Wadau wa muziki wakiwa kwenye mkutano huo wakifuatiliamambo mbalimbali.
Wadau wa muziki wakiwa kwenye mkutano huo. Imeandaliwa na www.habari za jamii.com-simu namba 0712-727062)

No comments: