WAKULIMA KATA YA UFULUMA UYUI: TUSILAZIMISHWE KUVIUZIA VYAMA VYA USHIRIKA TUMBAKU YETU
Katibu
Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia
wananchi wa kata ya Ufumula katika mkutano wa hadhara wakati wa ziara
yake inayoendelea katika mkoa wa Tabora akikagua miradi ya maendeleo
inayotekelezwa na serikali na kusikiliza kero mbalimbali zinazowakabili
wananchi ili kuzipatia ufumbuzi, Katibu Mkuu Kinana ameongozana na
Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi Ndugu Nape Nnauye, Katibu Mkuu
huyo kesho ataendelea na ziara hiyo katika wilaya ya Sikonge, Wakulima
wa kata ya Ufuluma wamelalamikia kulazimishwa na viongozi wa vyama vya
ushirika kuwalazimisha kuuza tumbaku yao katika vyama hivyo hata kama
sio wanachama wameomba wasisumbuliwe ili waweze kuuza tumbaku yao mahali
popote bila kubughudhiwa. Jambo ambalo limeungwa mkono na mkuu wa mkoa
wa Tabora Mh. Fatma Mwassa(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA
FULLSHANGWE-UYUI-TABORA)Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi Ndugu Nape Nnauye akiwahutubia
wananchi katika kata ya Ufuluma wakati wa mkutano wa hadhara kijiji hapo
leo.Mwenyekiti wa halmashauri ya Uyui Bw. Said Ntahondi akizungumza na wananchi wa kata ya Ufuluma wakati wa mkutano wa hadhara.Mkuu
wa mkoa wa Tabora Mh. Fatma Mwassa akizungumza na wananchi wa Kata ya
Ufuluma kuhusu tatizo la kubiwa kwa fedha zao zinazotokana na uuzaji wa
tumbaku.Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na mmoja wa vijana ambaye alionekana akitoka kuchota maji na mkokoteni wa kukokota na Ng'ombe Katibu
Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiingia
katika ukumbi wa mkuu wa mkoa wa Mwanakiyungi Isike ili kukutana na
waalimu.Waalimu wa shule mbalimbali wakimpokea Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ili kumsikiliza.Waalimu mbalimbali wakiwa katika mkutano huo.Katibu
Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na
waalimu wa shule mbalimbali katika ukumbi wa mkuu wa mkoa wa wa
Mwanakiyungi Isike.Mwalimu Petro Sizya akuliza swali katika mkutano huo.
Katibu
Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinanaakikagua
maabara katika shule ya sekondari ya wasichana ya Ndono wilayani Uyui
aliyeongozanana naye ni Mhandisi wa ujenzi wa wilaya ya Uyui Bw. Stephen
Nyanda.
No comments:
Post a Comment