
Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akikata utepe kuzindua rasmi Mfuko wa Ubunifu na Maendeleo ya Watu,
unaosimamiwa na Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) wakati wa hafla
hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam, leo. Picha na OMR

Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akihutubia wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mfuko wa Ubunifu na Maendeleo
ya Watu, unaosimamiwa na Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) wakati
wa hafla hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam, leo. Picha na OMR

Baadhi ya wadau waliohudhuria uzinduzi huo

Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na
Teknolojia Prof. Makame Mnyaa na baadhi ya viongozi wa Costech, baada ya
uzinduzi huo. Picha na OMR.(Awadh Ibrahim)
No comments:
Post a Comment