Pages

KAPIPI TV

Saturday, April 12, 2014

"KIONGOZI WA KISIASA KUTOWANIA NAFASI YA UONGOZI KWENYE VYAMA VYA MSINGI NI KUMNYIMA HAKI YA KIMSINGI"-WAKASUVI

Viongozi ngazi ya juu ya Chama kikuu cha Ushirika wa Wakulima wa Tumbaku kanda ya Magharibi Wetcu wakiwa katika mkutano wa 21 wa mwaka 2014.
Wajumbe wa mkutano wa 21 wa mwaka 2014 wa WETCU ambapo kwa sehemu kubwa wajumbe hao waliangazia suala la changamoto mbalimbali zinazowakabili wakulima na namna wanavyoshindwa kupiga hatua licha ya kuwa wanapata malipo ya mauzo ya tumbaku kwa mfumo wa Dola za kimarekani.
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Tabora  Bw. Hassan  Wakasuvi ambaye pia ni mjumbe wa mkutano huo alisisita suala la kuangalia upya kanuni za uundwaji wa  vyama vya ushirika ambapo zinamnyima haki mkulima ambaye atahitaji kuwa kiongozi wa chama cha  ushirika wakati akiwa ni kiongozi wa chama chochote cha kisiasa.



No comments: