Pages

KAPIPI TV

Wednesday, March 26, 2014

DC IGUNGA AHAMASISHA WANANCHI KUJIUNGA NA MFUKO WA CHF

Mkuu wa wilaya ya Igunga Bw.Elibariki Kingu akizungumza na wakazi wa Kijiji cha Matinje wakati akihamasisha Mfuko wa Afya ya Jamii CHF katika vijiji zaidi ya 52 wilayani Igunga.
Baadhi ya wakazi wa Kijiji cha Matinje wakinyoosha mikoni juu ishara ya kuukubali Mfuko huo wa Afya ya Jamii Tiba kwa Kadi maarufu TIKA baada ya kumsikiliza mkuu wa wilaya ya Igunga Bw.Kingu ambaye alikuwa akihamasisha mfuko huo.
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Nzega Bw.Amos Kanuda akitoa msaada wa kuwalipia  kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii  Wazee wa Kijiji cha Matinje wilayani Igunga.
Mkuu wa wilaya ya Igunga Bw.Elibariki Kingu akionesha Kadi yake ya Bima ya Afya ikiwa ni hatua ya kuwahamasisha  wakazi wa Kijiji cha Matinje kujiunga na mfuko wa Afya ya Jamii wilayani Igunga.





No comments: