Pages

KAPIPI TV

Wednesday, March 26, 2014

MITAMBO YA TELEVISHENI KWA MFUMO WA ANALOJIA KUZIMWA TABORA NA SINGIDA MARCHI 31 2014

Naibu mkurugenzi wa Idara ya Utangazaji Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA Bw.Frederick Ntobi akizungumza na waandishi wa habari Tabora kuhusu kuzima mitambo ya Analojia mikoa ya Tabora na Singida ifikapo tarehe 31 marchi mwaka 2014.
Meneja wa kanda ya kati TCRA Bi.Maria Sasabo akizungumzia ubora wa matangazo ya kupitia mfumo wa Dijitali nafaida zake.
Moja kati ya Antena za King'amuzi cha Startimes ambacho waandishi wa habari walielekezwa matumizi yake sahihi na namna kinavyoweza kukupatia picha zenye ung'avu.





No comments: