Pages

KAPIPI TV

Friday, July 24, 2015

RAIS KIKWETE AIFARIJI FAMILIA YA MAREHEMU JOHN EDWARD MCHECHU.

1
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa(NHC) Bw. Nehemia Mchechu. Rais Kikwete alikwenda nyumbani kwa Mkurugenzi huyo Mbezi Beach jijini Dar es Salaam julai 23, 2015 kumpa pole kufuatia kifo cha Baba yake aliyekuwa anaugua ugonjwa wa kiharusi.
Marehemu atasafirishwa kuelekea Muheza, Tanga kwa ajili ya Mazishi. Mazishi yatafanyika Kijiji cha Enzi, Muheza – Tanga siku ya Jumamosi tarehe 25/07/2015.
PICHA ZOTE NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM
2
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha Marehemu John Edward Mchechu ambaye ni baba wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa(NHC) Bw. Nehemia Mchechu. Rais Kikwete alikwenda nyumbani kwa Mkurugenzi huyo Mbezi Beach jijini Dar es Salaam julai 23, 2015 kumpa pole kufuatia kifo cha Baba yake aliyekuwa anaugua ugonjwa wa kiharusi.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho kikwete akiifariji familia ya marehemu John Edward Mchechu Mbezi beach jijini Dar es Salaam julai 23, 2015. (wapili kushoto) mtoto wa Marehemu ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bwana Nehemia Mchechu.
4
Familia ya marehemu John Edward Mchechu.
5 6
Rais Dkt.Jakaya Mrisho kikwete akiondoka mara baada ya kuifariji familia ya marehemu John Edward Mchechu (katika) mtoto wa Marehemu ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bwana Nehemia Mchechu.
7
Rais Dkt.Jakaya Mrisho kikwete akiagana viongozi mara baada ya kuifariji familia ya marehemu John Edward Mchechu (katika) mtoto wa Marehemu ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bwana Nehemia Mchech.
8
Waombolezaji.
9
????????????????????????????????????

No comments: