Pages

KAPIPI TV

Wednesday, July 1, 2015

JE,HIVI NI LINI WANANCHI WA KAWAIDA WATAKOMBOLEWA KUONDOKANA NA HALI DUNI YA MAISHA?

Mmoja kati ya wananchi wa mkoa wa Tabora ambao ni miongoni mwa watu wanaotegemea kipato chao kitokane na shughuli mbalimbali ikiwemo ya ukataji mkaa hatua ambayo inaelezwa kuwa inaathiri kwa kiasi kikubwa uharibifu wa rasilimali misitu lakini ni moja ya shughuli zinazowasaidia kuendesha maisha wananchi wa kipato cha chini kama huyu.
Je,hii inaweza kuwa ni safari ya matumaini ya kumkomboa mwananchi wa kipato cha chini kama huyu ambaye anajishughulisha na ukataji mkaa na kuharibu mazingira ya misitu?


No comments: