Pages

KAPIPI TV

Monday, December 22, 2014

ZIZOU ENTERTAINMENT YATOA MSAADA WA VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU ZA VETERANI WATUMISHI NA CHIPUKIZI TABORA

Mwenyekiti wa timu ya Veterani Watumishi mkoa wa Tabora Laurent Paul akipokea msaada wa vifaa vya michezo kutoka kwa mwakilishi wa kampuni ya Zizou Entertainment ya jijini Dar-es-salaam,Shabani Moshi wakati wa makabidhiano ya vifaa hivyo kwenye viwanja vya Chipukizi Tabora mjini.
Kocha wa timu ya Chipukizi Didas Kunde akipokea jezi kwa ajili ya Timu ya Chipukizi zilizotolewa na Zizou Entertainment.
Timu ya  Veterani Watumishi ya mjini Tabora



No comments: