Pages

KAPIPI TV

Monday, November 24, 2014

NHIF YATOA HUDUMA YA USHAURI NA UPIMAJI WA AFYA KWA WASHIRIKI WA MASHINDANO YA SHIMUTA-TANGA

Afisa Masoko na Elimu kwa Umma wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Bi. Catherine Kameka akiwasajili baadhi ya washiriki wa mashindano ya SHIMUTA waliofika kupata huduma za upimaji wa afya katika banda la NHIF.
Dr. Mashaka Cosmas akimpa ushauri Bw. Jesse John  watimu ya TANESCO baada ya kupata vipimo katika banda la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya katika mashindano ya SHIMUTA yanayofanyika katikaViwanja vya MkwakwaniTanga.
Afisa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Bw. Kichanta Damian akimpima urefu mmoja wa washiriki wa mashindano ya SHIMUTA aliyekuja kupata huduma ya upimaji katika banda la Mfuko waTaifa wa Bima ya Afya

 Sr. Mwanaisha Mngulwa akimpima shinikizo la damu Bw. Anord Semu wa timu ya CBE aliyefika katika banda la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kupata huduma hiyo.

Baadhi ya washiriki wa SHIMUTA wakisubiri kupata vipimo katika banda la Mfuko waTaifa wa Bima ya Afya.



No comments: