Pages

KAPIPI TV

Sunday, October 26, 2014

MBWEMBWE ZA STAND UNITED

STAND UNITED YA SHINYANGA
Stand United wakiingia uwanjani na katapila tayari kucheza na Yanga, mwenye shati la kitenge hapo mlagoni ni Mbunge wa Shinyanga mjini Mheshimiwa Stephen Masele ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini amekuwa bega kwa bega na timu ya Stand United.

No comments: