Mwenyekiti wa Chama cha Soka mkoani Tabora Yusuph Kitumbo akitoa zawadi ya kombe kwa mshindi wa kwanza katika mashindano ya kuibua vipaji vya Soka kwa vijana katika kata ya Ikomwa ambapo Kitumbo mbali na kuwa mgeni rasmi katika mashindano hayo alielezea kuridhishwa kwake na vipaji vya vijana waliopo vijijini katika mchezo huo wa Soka. |
No comments:
Post a Comment