Mwenyekiti wa Chama cha Waendesha Bodaboda Bw.Waziri Kipusi(mwenye shati ya draft)akikabidhi msaada wa vyandarua kwa mmoja kati ya wakunga katika Wadi ya kinamama wajawazito. |
Mwenyekiti wa waendesha Bodaboda Waziri Kipusi alikabidhi vyandarua kwa kinamama waliojifungua watoto ambao hawajatimiza muda wa kuzaliwa(NJITI) |
Katibu wa Waendesha Bodaboda Kassim Kiduli akikabidhi msaada wa sabuni kwa akinamama waliojifungua huku akitoa nasaha fupi zilizowafanya kinamama hawa kuangua kicheko kwa furaha. |
Waziri Kipusi akimpatia juisi mmoja kati ya watoto wagonjwa |
Mmoja kati ya Waendesha Bodaboda Bi.Zay Mchemba akihojiwa na waandishi wa habari wa habari namna ambavyo anashiriki katika kazi hiyo ya Bodaboda. |
No comments:
Post a Comment