Pages

KAPIPI TV

Wednesday, August 6, 2014

WANANCHI WAMIMINIKA BANDA LA NHIF NANENANE LINDI


???????????
 Ofisa Matekelezo wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Ambrose Manyanda akitoa huduma ya elimu inayohusu Mfuko kwa mdau aliyetembelea banda la Mfuko kwenye maonesho ya Nane Nane Mkoa wa Lindi.
???????????Meneja wa NHIF Mkoa wa Lindi Fortunata Raymond akiwakaribisha akina mama kwenye moja ya mabanda ya Mfuko kwa ajili ya kupata huduma ya upimaji wa Saratani huduma inayotolewa na Mfuko kwenye maonesho hayo.
???????????Wananchi wakisubiri kupata huduma ya upimaji afya bure katika banda la NHIF ambalo huduma za upimaji zinatolewa bure.
???????????Burudani ya ngoma na maigizo ikiendelea katika banda kla NHIF kwa lengo la kuelimisha.
???????????Sehemu ya ushauri wa namna ya kujikinga na maradhi yasiyoambukiza ikiendelea na huduma zake.
???????????Huduma zikiendelea bandani hapo.
???????????
Kaya ya Said Mnyou ikiwa katika picha ya pamoja baada ya kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF), wananchi wanajiunga moja kwa moja kwenye maonesho hayo.
???????????
Kikundi cha sanaa kikiendelea na uhamasishaji wa wananchi kujiunga na CHF na kunufaika na huduma zinazotolewa kwenye maonesho hayo.

No comments: