Daktari
bingwa wa ugonjwa wa saratani ya matiti kutoka nchini India, Profesa
Anthony Pais, akitoa mafunzo kuhusu ugonjwa huo kwa madaktari wa
kitanzania na wadau mbaliombakli wa sekta ya afya. Semina hiyo
ilifanyika Dar es Salaam jana, Hoteli ya Protea Courtyard Seaview.
Profesa
Anthony Pais, akiwa na madaktari wa kitanzania. Kutoka kushoto ni
Executive Chairman Tanzania Creative Industries Network (TACIN), Anic
Kashasha na Dk.Paul Mareale.
Profesa Anthony Pais (kushoto), akielezea jambo kuhusu ugonjwa huo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) ,
Dk.Malina Njelekela(kulia), akizungumza na wadau mbalimbali katika semina hiyo.
Dk.Malina Njelekela(kulia), akizungumza na wadau mbalimbali katika semina hiyo.
Mshauri
wa Kimataifa wa Kujitegemea, James Rugemalira akizungumza na waandishi
wa habari. Kulia ni mke wake ambaye ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabibo
Beer wines and Spirits Limited, Benedicta Rugemalira na Profesa Anthony
Pais.
Profesa
Pais (katikati), akiwa na wenyeji wake. Kutoka kulia ni Dk.Paul Mareale,
James Rugemalira, Dk.Malina Njelekela na Benedicta Rugemalira.
Profesa Pais akizungumza na waandishi wa habari.
Mshauri
wa Kimataifa wa Kujitegemea, James Rugemalira (kushoto), akipeana mkono
na daktari bingwa wa ugonjwa wa saratani ya matiti kutoka India, Profesa
Anthony Pais (kulia), baada ya kutoa mafunzo kwa madaktari wa Tanzania
na wadau wa sekta ya afya kuhusu ugonjwa huo, Dar es Salaam jana.
Katikati ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and
Spirits Ltd, Benedicta Rugemalira, waliodhamini mafunzo hayo ya siku
moja.
Profesa Pais (mwenye suti katikati), akiwa katika picha ya pamoja na wenyeji wake.
Profesa Pais (mwenye suti katikati), akiwa katika picha ya pamoja na wenyeji wake.
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) ,
Dk.Malina Njelekela(kulia), akiteta jambo na viongozi wengine kwenye semina hiyo.
Dk.Malina Njelekela(kulia), akiteta jambo na viongozi wengine kwenye semina hiyo.
Profesa Pais akifurahia jambo na Executive Chairman Tanzania Creative Industries Network (TACIN), Anic Kashasha.
Wadau wakiwa kwenye semina hiyo. Kulia ni Mmoja wa Wakurugenzi wa Kampuni iliyokuwa ikifua umeme ya VIP, Joe Mgaya.
Wanahabari wakiwa kwenye semina hiyo.
Continue reading →
No comments:
Post a Comment