Pages

KAPIPI TV

Friday, July 25, 2014

WANANCHI NA JWTZ WASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA MASHUJAA TABORA

Baadhi ya askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania wakifyatua risasi hewani kama ishara ya kumbukumbu ya Mashujaa katika maadhimisho yaliyofanyika Tabora mjini kwenye Mnara wa kumbukumbu ya uamuzi wa Busara.
Baadhi ya makamanda wa JWTZ wakitoa heshima wakati wa maadhimisho ya Mashujaa Tabora mjini.

Mkuu wa wilaya ya Sikonge Bi.Hanifa Selengu akiweka Ngao na mkuki kama ishara ya Serikali kukumbuka mchango wa mashujaa waliopambana katika vita mbalimbali.
Baadhi ya makamanda wa JWTZ,Polisi na Magereza walihudhuria katika maadhimisho hayo.

Mkuu wa wilaya ya Sikonge Bi.Hanifa Selengu akihutubia katika maadhimisho hayo kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa Tabora.
Baadhi ya wananchi wakiwemo wafanyabiashara ambao walilazimika wafunge shughuli zao kushiriki maadhimisho ya Mashujaa.





No comments: