Pages

KAPIPI TV

Wednesday, July 23, 2014

TRA YAFUTURISHA BAADHI YA WANANCHI TABORA

Baadhi ya waalikwa akiwemo Meneja wa kanda wa Bima ya Afya mkoa wa Tabora Bw.Emmanuel Adina wakishiriki hafla ya Futari iliyoandaliwa na Mamlaka ya mapato Tanzania TRA katika hotel ya ORION Tabora mjini.
Baadhi ya viongozi wa Serikali na vyama vya siasa akiwemo Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake UWT mkoa wa Tabora Bi.Mwanne Mchemba walishiriki katika hafla hiyo ya Futari
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi wilaya ya Tabora mjini Bw.Moshi Abraham maarufu Nkokota naye alikuwa ni mmoja kati ya wageni waalikwa
Baadhi ya walipa kodi ambao ni wamiliki wa makampuni ya mabasi Tabora kushoto ni  Bw.Medd Nassor Hamdani,mmiliki wa mabasi ya NBS na Bw.Humud Nassor ambaye ni mmiliki wa mabasi ya SUPER SONIC nao walikuwa ni miongoni mwa wageni waalikwa 

Baadhi ya walipa kodi wafanyabishara wa Tabora
Baadhi ya watumishi wa TRA Tabora nao walishiriki hafla hiyo ya Futari
Mkurugenzi wa Fedha  wa TRA Tanzania Bw.Salehe Mshoro akizungumza katika hafla hiyo ya Futari ambapo alizungumzia mafanikio makubwa ya ukusanyaji wa kodi ya mapato nchini huku akitumia fursa hiyo kuwashukuru wafanyabishara kwa ushirikiano wanaoitapatia TRA
Katibu wa ccm mkoa wa Tabora Bw.Idd Ali Ame akizungumza katika hafla hiyo ya Futari
Mmoja kati ya viongozi wa dini ya kiislam Tabora mjini Sheikh Issa Bilali akisoma dua maalum wakati wa hafla hiyo.
Mjumbe wa NEC Bw.John Mchele akipeana mkono na Mkurugenzi wa fedha wa TRA nchini Bw.Mshoro,pembeni ni Meya wa halmashauri ya manispaa ya Tabora Bw.Ghulam Dewij











No comments: