Pages

KAPIPI TV

Saturday, July 19, 2014

"TIMU YA CHIPUKIZI NI CHIMBUKO LA WANASOKA TABORA"

Timu ya watoto wenye kipaji cha soka inayofahamika kama Chipukizi ya mjini Tabora,watoto hawa huanza kujifunza mpira wa miguu kuanzia miaka minane chini ya mwalimu wao mchezaji wa zamani wa timu ya Milambo Didas Kunde.

No comments: