Pages

KAPIPI TV

Sunday, July 20, 2014

MABONDIA WAKUTANA NA KUUNDA UMOJA WA KUSAIDIANA KATIKA MAMBO MBALIMBALI

Bondia Said Chiddy kushoto akizungumza wakati wa mkutano wa umoja wa mabondia kwa ajili ya kusaidiana katika mambo mbalimbali uliofanyika katika ukumbi wa Vijana Kinondoni jana picha na www.superdboxing coach.blogspot.com
Mmoja wa wadau wa mchezo wa masumbwi nchini Khalifa Kiumbe Moto  kushoto akichangia mada wakati wa mkutano wa kuunda umoja wa mabondia uliofanyika katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Dar es salaam picha na

Bondia Japhert Kaseba akizungumza kabla ya kufunga mkutano huo aliouitisha kwa ajili ya kuunda umoja wa mabondia kusaidiana kwa mambo mbalimbali picha na

www.superdboxing coach.blogspot.com

No comments: