Pages

KAPIPI TV

Tuesday, July 22, 2014

PPF YAFUTURISHA WAFANYAKAZI WAKE

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, William Erio, akipakua chakula wakati  futari iliyoandaliwa na ofisi yake katika hoteli ya serena leo
Baadhi ya wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, wakichukua chakula wakati wa futari iliyoandaliwa na Mfuko huo wa Pensheni wa PPF leo.
Afisa Mahusiano wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bi Janeth Ezekiel akimuonyesha baadhi ya vyakula mjumbe wa bodi ya PPF, Mh Mbaruku Igangula wakati wa futari iliyoandaliwa na mfuko wa Pensheni wa PPF.
 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, William Erio, akitoa hotuba kwa wafanyakazi wa Mfuko huo baada ya futari iliyoandaliwa na Ofisi yake kwa wafanyakazi wake kwenye hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, Pembeni ni Msimamizi wa Masoko wa mfuko huo wa Pensheni wa PPF, Bw Alfred Elia
 Baadhi ya wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, wakishiriki futari iliyoandaliwa na Mfuko huo kwenye hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.Picha Zote na Josephat Lukaza - Lukaza Blog

No comments: