| Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia mamia ya wananchi katika
mkutano wa hadhara uliofanyika jioni hii, lwenye Viwanja vya Peoples
mjini Singida, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM
na kusikiliza kero za wananchi katika mkoa huo wa Singida. (Picha na
Bashir Nkoromo) |
No comments:
Post a Comment