Pages

KAPIPI TV

Saturday, March 1, 2014

"JAMAA ABADILIKA NA KUWA ALBINO BAADA YA KUTUMIA DAWA ZA MALARIA"-TABORA

Bw.Hafidh Masokola Damson ambaye alibadilika na kuwa Albino kutokana na matumizi ya dawa za Malaria baada ya kuzitumia mnamo mwaka 2010,Kwa maelezo yake mara baada ya kunywa dawa aina ya Metakelfin alianza kubabuka ngozi ya mwili wake huku magamba yakitoka mithiri ya nyoka. 
Hafidhi ambaye kwasasa anaishi Tabora mjini eneo la National Housing amebadilika maeneo yote ya viungo vya mwili wake isipokuwa meno pekee na kuwa albino hata kufikia hatua ya kujiunga na chama cha Maalbino Tanzania tawi la Tabora,kwa uthibitisho wa habari hii waweza kumpigia kwa simu ya kiganjani 0767 298 348 au 0658 298 348.
Hafidh Masokola kabla ya kubadilika kuwa mlemavu wa ngozi Albino.



No comments: