Pages

KAPIPI TV

Sunday, May 12, 2013

WAFANYAKAZI WA MRADI WA MILENIA MBOLA WAFANYA SHEREHE

 Kiongozi wa mradi wa vijiji vya Milenia Mbola Dr.Gerson Nyadzi akizungumza katika hafla fupi ya jioni ya wafanyakazi wa Mbola Mvp ilyofanyika katika ukumbi wa Polisi mjini Tabora.
 Hapa ni wakati ulipowadia kwa wafanyakazi hao kulisakata Rumba kwa kila mmoja kwa Staili yake na akionesha ufundi juu ya hilo.
 Ilikuwa vigumu kuvumilia kwa Kiongozi wa Mradi Dr.Gerson Nyadzi kuwaachia Staff peke yao kunyoosha viungo vyao akaamua kuwasindikiza kwa kucheza Kiduku kama inavyoonekana hapa ambapo ukumbi ukachangamka.
 Ikafikia hatua hata ya viatu kuwa vizito na uchangamfu ukakolea bila kujali muda wa kukamilisha hafla hiyo ya jioni.
 Wakati wa maakuli ulipewa kipaumbele cha kwanza kabla ya mambo mengine ili kusawazisha mambo.



No comments: