| Dr.Dalali Peter Kafumu mbunge halali wa jimbo la Igunga - Mahakama ya Rufaa kanda ya Tabora. |
| Baadhi ya viongozi wa Chadema na CCM ngazi za wilaya wakiwa mahakamani kushuhudia kesi ya rufaa ya kutenguliwa kwa matokeo ya Ubunge wa Jimbo la Igunga Dr.Kafumu |
| Viongozi wa Chadema wakitoka nje ya mahakama baada ya Dr.Kafumu kurejeshewa Ubunge wa Jimbo la Igunga. |


No comments:
Post a Comment