MBUNGE WA VITIMAALUM MKOA WA TABORA BI.HAWA MWAIFUNGA ATOA MSAADA WA CHEREHANI KWA MWANACHAMA WA CCM
Mbunge wa vitimaalum mkoa wa Tabora Bi.Hawa Mwaifunga akimkabidhi Cherehani mmoja kati ya Wanawake wa Tabora mjini kwa lengo kumsaidia ili aweze kujikimu kimaisha baada ya kutengwa na mumewe kufuatia kuugua kwa muda mrefu.
Hawa Mwaifunga akijaribu kuifunga vizuri Cherehani hiyo mpya kabla ya kumkabidhi Mwanamke huyo mwenye familia ya watoto watatu akitegemea kuendesha maisha yake kwa kufanya vibarua vya kufyatua matofali ya kuchoma.
No comments:
Post a Comment