NHIF ILIVYOADHIMISHA 9 DESEMBA KWA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko Michael Mhando akiwaongoza Watumishi wa Mfuko kufanya usafi maeneo yanayozunguka makao makuu ya Mfuko na hatimaye kutoa mashuka 100 kwa Hospitali ya Jeshi la Polisi Kilwa Road.
No comments:
Post a Comment