Pages

KAPIPI TV

Monday, December 22, 2014

JUMUIYA YA WANAFUNZI WA TANZANIA WUHAN (WUTASA) YAWAKARIBISHA WANAFUNZI WAPYA


Jumuiya ya Wanafunzi wa Tanzania Wuhan (WUTASA) iliandaa sherehe ya kuwakaribisha wanafuzi wapya Watanzania Wuhan, China. (Mdau Abdul Saiboko alikuwa ni mmoja wa wanafunzi hao ambaye ndiye aliyetumuvuzishia matukio haya yanayoonyesha jinsi sherehe ilivyofana Wuhan nchini China kama wanavyoonekana baadhi ya wanafunzi wapya waliohudhuria sherehe hiyo wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa sherehe hiyo.(PICHA NA MDAU ABDUL SAIBOKO-WUHAN-CHINA)
Mdau Abdul Saiboko wa kwanza kutoka kushoto na aadhi ya wadau wa China University of Geosciences (DIDA). wengine ni Yazidi, Masanja na Baraka.

Baadhi ya wadau wakiwa kwenye picha ya pamoja na mwenyekiti wa WUTASA Bwana Thomas Mtaki (wa tatu kutoka kushoto).
Katibu wa WUTASA bwana Mkoko akijaziwa mapochopocho.
Baadhi ya wadau waliohudhuria.
Mambo yakawa mduara kwa kwenda mbele kama inayoonyesha katika picha Mdau Abdul Saiboko akiikunja nyonga vilivyo wakati akicheza. Mambo ya mduara.​

No comments: