Pages

KAPIPI TV

Wednesday, November 19, 2014

"HIVI NI NANI ANAYEFANYA MAUAJI YA BODABODA TABORA?''

Mwili wa kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Deogratius Elmengled(18)aliyeuawa kwa kuchomwa visu maeneo mbalimbali ya mwili wake huko katika Kata ya Malolo jirani na Kanisa la RC Makokola eneo ambalo waendesha Bodaboda hupelekwa hapo na kuuawa kabla ya kuporwa Pikipiki zao,matukio ya aina hii yamekwishatokea mara kadhaa na kusababisha vifo vya watu watatu kwa nyakati tofauti.
Baaadhi ya watu wamekuwa wakijiuliza kuhusu mauaji ya waendesha Bodaboda hao lakini ni maswali yasiyokuwa na majibu ingawa kuna tetesi kwamba lipo kundi la watu wanne wanaoishi jirani la eneo hili linalofanyika mauaji ambao hufanya matukio hayo na kupora pikipiki.


No comments: