Pages

KAPIPI TV

Tuesday, June 10, 2014

MGOGORO WA WAISLAMU TABORA:- SHEIKH MKUU WA TANZANIA MUFTI SHAABAN SIMBA AAMURU MSIKITI WA IJUMAA GONGONI UFUNGULIWE MARA MOJA

Sheikh mkuu wa Tanzania Mufti Shaaban Simba ameamuru Msikiti mkuu wa Ijumaa  Gongoni Tabora ufunguliwe haraka iwezekanavyo wakati alipokuwa katika mkutano wa kutatua mgogoro wa waislamu wa mkoa wa Tabora,mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Isike MwanaKiyungi ofisi ya mkuu wa mkoa wa Tabora. 
Baadhi ya Waislamu wa mkoa wa Tabora ambao walihudhuria mkutano huo.
Sheikh wa wilaya ya Tabora Ramadhani Rashid akizungumza katika mkutano huo






No comments: