![]() |
| Katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Bw.Abrahaman Kinana akivishwa Skafu ikiwa ni sehemu ya Mapokezi yake wilayani Igunga wakati akianza ziara ya kikazi mkoani Tabora. |
![]() |
| Bw.Kinana akizungumza na baadhi ya wananchi wa Makomero waliojitokeza kumlaki wakati alipowasili wilayani Igunga tayari kwa kuanza ziara ya siku kumi na moja mkoani Tabora. |






No comments:
Post a Comment