Pages

KAPIPI TV

Sunday, September 15, 2013

"DC NA RPC WANUSURU ZOMEAZOMEA KWENYE MKUTANO WA RAGE TABORA MJINI"

Mbunge wa Jimbo la Tabora mjini Bw.Aden Ismail Rage akihutubia baadhi ya wananchi wa manispaa ya Tabora katika mkutano wake wa hadhara aliouitisha kwa lengo la kuelezea mafanikio na utekelezaji wa Ilani ya CCM kwa muda wa miaka miwili ambayo Rage amekuwa Mbunge wa Jimbo hilo.
Mbunge wa Jimbo la Tabora mjini Bw.Aden Ismail Rage akielezea mafanikio yaliyopatikana tangu achaguliwe kushika wadhifa huo.                                  
Kushoto ni mkuu wa wilaya ya Tabora Bw.Suleiman Kumchaya ambaye alihudhuria katika mkutano huo uliofanyika katika Viwanja vya Stand ya zamani.        
Kushoto ni Mkuu wa Jeshi la Polisi mkoani Tabora ACP Peter Ouma alipokuwa akizungumzia suala la kukithiri kwa vitendo vya kiharifu baada ya kutakiwa na Bw.Rage kutoa ufafanuzi juu ya matukio hayo na hatua zipi zinachukuliwa na Jeshi la Polisi mkoani Tabora dhidi ya uharifu ambao umekuwa ukiathiri maisha ya watu na mali zao.




No comments: