Pages

KAPIPI TV

Saturday, June 1, 2013

ANNASTAZIA DONALD NDIYE MISS TABORA 2013

Redds Miss Tabora 2013 Annastazia Donald(19)ambaye ni mwanafunzi wa Theofil Kisanji University,kushoto ni mshindi wa pili katika kinyang'anyiro hicho  Sabrina Juma(18) kutoka chuo cha African Utalii na mshindi wa tatu ni Cornecia Cossei(21)kutoka chuo cha Utumishi wa Umma Tabora. 
Warembo baada ya kutangazwa na kupatiwa zawadi zao katika shindano lililofanyika ukumbi wa Frankman Hotel mjini Tabora
Redds Miss Tabora 2013 Annastazia  Donald akiwa  katika vazi la ufukweni ambalo lilionesha kuwa kivutio kikubwa mbali na umahili wake wa kujiamini wakati wa kujibu maswali jambo ambalo lilichangia kumletea ushindi.
Mshindi wa pili katika mashindano hayo Sabrina Juma akiwa katika vazi la jioni
Mbunge wa Jimbo la Sengerma Bw.William Ngereja akikabidhi zawadi kwa mshindi wa kwanza katika mashindano ya uermbo yaliyofanyika
Warembo wakipita jukwaani kila mmoja akionesha uwezo wake mbele umati mkubwa wa wakazi wa Tabora waliofurika kushuhudia shindano hilo.







No comments: