Pages

KAPIPI TV

Tuesday, May 7, 2013

KISIMA CHAENDELEA KUUA WATU,WANANCHI WAKUMBWA NA HOFU KUBWA KILOLENI-TABORA MJINI

Askari wa kikosi cha zimamoto mjini Tabora wakiutoa mwili wa mwanamke ambaye amekutwa amekufa katika kisima cha maji maarufu Bombamzinga kilichopo kata ya Kiloleni Tabora mjini,Mwanamke huyo ametambulika kwa jina la Hawa Ramadhani Mzee ambaye alikuwa na umri wa miaka 42 ambaye pia inasemekana alikuwa na matatizo ya akili.
Diwani wa kata ya Kiloleni Bw.Juma Matalu (katikati)akishuhudia tukio la kifo cha mwanamke huyo katika kisima ambacho kimekuwa kikihusishwa na matukio ya mauaji ya watu kadhaa kwasasa hali inayotishia amani kwa wakazi wa kata ya Kiloleni.
Baadhi ya Askari wa Jwtz,Polisi na wa kikosi cha zimamoto Tabora mjini waliposhirikiana kuutoa mwili wa mwanamke huyo.












No comments: