![]() |
| Mkurugenzi wa LHRC Dr.Helen akisoma ripoti ya miaka 10 ya hali ya haki za binadam nchini ambapo alieleza bado kuna changamoto kubwa kukabiliana na ukiukwaji wa haki za binadamu nchini. |
![]() |
| Burudani ya vijana wa Makirikiri ya Dar-es-salaam nao walikuwa ni sehemu ya maadhimisho hayo ya siku ya haki za binadamu duniani ambayo yanaadhimishwa kwa mwaka wa 64 tangu kuanzishwa kwake. |
![]() |
| Rais wa Chama cha wanasheria Tanganyika wakili Francis Stola akizungumza katika maadhimisho hayo. |
![]() |
| Wafanyakazi wa kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa ngazi ya juu wa kituo hicho. |







No comments:
Post a Comment