Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete
akiwasili katika viwanja vya Ikulu jijini Dar leo asubuhi ili kuanza kazi ya
kuwaapisha mawaziri wapya aliowateua hivi karibuni.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza na Katibu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue kabla ya kuanza kuapiswa kwa mawaziri na manaibu mawaziri hao.
Dk. Harrison Mwakyembe akila kiapo kuwa waziri wa Uchukuzi mbele ya Rais Kikwete kwenye viwanja vya Ikulu jijini Dar-es-salaam.
Mh.Shamsi Vuai Nahodha akila kiapo kuwa waziri wa Ulinzi mbele ya Rais Kikwete.
Dk Husein Mwinyi akila kiapo kuwa Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii mbele ya Rais Kikwete.
Profesa Jumanne Maghembe akisaini mara baada ya kuapo cha kuwa waziri wa maji na umwagiliaji nchini.
Mh. Hawa Ghasia akila kiapo mbele ya Rais Kikwete.
Mh. Mathias Chikawe waziri wa Sheria na Katiba.
Mh. George Mkuchika akipongezwa na Rais Kikwete mara Baada ya kula kiapo.











No comments:
Post a Comment