Naibu Waziri wa Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia
January Makamba akizungumza na watendaji wakuu wa kampuni ya Vodacom (hawapo pichani)
wakati alipotembelea makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es salaam katika
ziara maalum ya kujifunza shughuli za mawasiliano nchini. Kulia na Mkurugenzi
Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza.
Naibu
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia January Makamba na Mkurugenzi
Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza wakibadilishana uzoefu kabla ya Naibu
Waziri kufanya mazungumzo na watendaji wakuu wa Vodacom Tanzania alipofanya
ziara ya utambulisho makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es salaam.
Naibu
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi an Teknolojia January Makamba akikaribishwa
makao makuu ya Vodacom Tanzania na Ofisa Mkuu wa Mahusiano na Mauzo kwa Wateja
Wakubwa waVodacom Tanzania Mwamvita Makamba. Naibu Waziri Makamba alifanya
ziara ya utambulisho Vodacom na kukutana na Uongozi wa kampuni hiyo.


No comments:
Post a Comment