Katibu Tawala Mkoa wa Tanga,Salum Chima akizungumza jana wakati
akifungua semina ya mfuko wa pensheni wa PPF kwa maafisa wa makampuni
mbalimbali katika (Kanda ya Kinondoni) mkoa wa Tanga.uliofanyika ukumbi
wa mikutano wa mkuu wa mkoa wa Tanga jana. Picha zote na Oscar Assenga,Tanga.
Ofisa wa mfuko wa pensheni wa PPF mkoa wa Tanga,Bw.Vanance akielezea
namna semina hiyo itakavyofanyika wakati wa ufunguzi wake, Meneja wa PPF Kanda ya Kinondoni inayojumuisha wilaya ya Kinondoni, mkoa wa Pwani (Wilaya ya Kibaha na Bagamoyo) na mkoa wa Tanga,Zahra Kayugwa akizungumza katika semina hiyo jana na picha inayofuatia akizungumza na waandishi wa habari mkoa wa Tanga. Meneja wa PPF Kanda ya Kinondoni inayojumuisha wilaya ya Kinondoni, mkoa wa Pwani (Wilaya ya Kibaha na Bagamoyo) na mkoa wa Tanga,Zahra Kayugwa akizungumza na waandishi wa habari mkoa wa Tanga.
wafanyakazi wa mfuko wa pensheni wa PPF leo kabla ya kuanza semina ya
mfuko huo kwa maafisa wa makampuni mbalimbali katika(Kanda ya
Kinondoni)mkoa wa Tanga jana. washiriki
wa semina hiyo wakiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa mfuko wa
Pensheni wa PPF jana baada ya kufunguliwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa
Tanga,Salum Chima aliyekaa katikati mwenye koti jeusi kulia ni Meneja wa
PPF kanda ya Kinondoni,Mkoa wa Pwani inayojumuisha wilaya ya Kibaha na
bagamoyo) na mkoa wa Tanga,Zahra kayugwa Katibu
Tawala Mkoa wa Tanga,Salum Chima akiwa kwenye picha ya pamoja na
wafanyakazi wa mfuko wa Pensheni wa PPF jana kulia ni Meneja wa PPF
kanda ya Kinondoni,Mkoa wa Pwani inayojumuisha wilaya ya Kibaha na
bagamoyo) na mkoa wa Tanga,Zahra kayugwa
maafisa kutoka makampuni mbalimbali katika (kanda ya Kinondoni )mkoa wa
Tanga wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa jana.
Friday, September 26, 2014
MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA WAWAPONGEZA WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA
…………………………………………………………………………………………..
MTANDAO wa Wanawake na Katiba
Tanzania umewapongeza wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba na hasa wajumbe
waliokuwa mstari wa mbele kupigania masuala mbalimbali yaliyokuwa
yanapendekezwa na mtandao huo juu ya uwepo wa Katiba inayopendekezwa
yenye mtazamo wa kijinsia.
Kauli hiyo imetolewa leo jijini
Dar es Salaam na Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanawake na Katiba Tanzania,
Prof. Ruth Meena akizungumza na waandishi wa habari ikiwa ni siku moja
baada ya Rasimu ya Katiba inayopendekezwa kuwasilishwa kwenye Bunge
Maalum la Katiba Mjini Dodoma tayari kwa zoezi la kuanza kupigiwa kura
kifungu kwa kifungu na wajumbe wa bunge hilo.
Prof. Meena alisema Mtandao wa
Wanawake na Katiba Tanzania haunabudi kuwapongeza wajumbe wote wa bunge
maalum na hasa wale waliowaunga mkono kupaza sauti juu ya madai ambayo
waliwasilisha kupitia mtandao wao na njia nyingine mbalimbali
kushinikiza katiba inayopendekezwa kuwa na mlengo wa kijinsia ili kutoa
usawa wa kijinsia.
Alisema Rasimu ya Katiba
inayopendekeza imeonesha mwelekeo wa kutoa usawa wa kijinsia jambo
ambalo mtandao huo unaamini ni mafanikio makubwa kwao na kwa jamii
inayojali usawa wa kijinsia. Aliongeza kuwa yapo mambo kadhaa ambayo
walipendekezwa yatajwe kwenye katiba kama umiliki wa ardhi kumtambua
mwanamke na kutajwa kwa umri wa mtoto jambo ambalo wanaamini litapunguza
kilio cha ndoa za utoto suala ambalo wanaharakati wa masuala ya
kijinsia wamekuwa wakilipigia kelele siku zote.
“…Tunapenda kutoa pongezi kwa
wajumbe wote wa Bunge Maalum la Katiba kwa moyo waliouonesha kujali
masuala ya kijinsia kwa kiasi chake…tunaunga mkono rasimu ya Katiba
inayopendekezwa kwa kuamini ni mwanzo mzuri wa kuonesha usawa wa
kijinsia…,” alisema Prof. Meena akizungumza na wanahabari.
Kwa upande wake Mjumbe wa Mtandao
wa Wanawake na Katiba Tanzania, Usu Mallya akizungumza alisema licha ya
mafanikio yao kwa mtandao wao wamehoji baadhi ya mapendekezo ambayo
yamekataliwa na wajumbe hao ilhali yanamuelekeo mzuri juu ya uwajibikaji
wa wanasiasa kwa wapigakura wao.
Alisema wameshangazwa na kitendo
cha wajumbe wa bunge la katiba kuruhusu kipengele ambacho kimeweka
utaratibu kuwa Rais wa nchi anaweza kushtakiwa ilhali wamepinga
kipengele za kutoa fursa kwa wapiga kura kumuwajibisha mbunge wao baada
ya kumchagua pale wanapoona ameshindwa kuwawakilisha kama
walivyokubaliana.
*Imeandaliwa na www.thehabari.com
Skylight Band Divas Mary Lukos(Wa kwanza Kushoto) Aneth Kushaba(katikati) Na Digna Mpera (Wa kwanza Kulia) wakitoa burudani ya nguvu Kwa Mashabiki Wao Ndani ya Kijiji cha Maraha Thai Village Ijumaa Iliyopita.Kila Ijumaa ya mwisho wa wiki Band Ya Skylight Wanapiga show Ndani ya Thai Village.Karibu Leo Upate burrudani ya nguvu yenye kukonga Roho yako na kutakuwa na Supriseeeeeee kibaoooo ndani ya Thai Village
Hashimu Donode Akiimba kwa raha zake ndani ya Thai Village
Shabiki huyu hakuweza kujizuia hisia zake pale alipoguswa na muziki mzuri uliokuwa ukiimbwa na Hashimu Donode
Donode Akiendelea kuimba na shabiki wake kwa Raha zaooooo
Digna Mpera akizipiga zile voca; kali za kumtoa nyoka pangoni
Mary Lukos Akifurahi na kucheza ala nzuriiii toka kwa wapiga vyombo wa Skylight Band Hawapo Pichani
Mary Lukos Kwa Rahaaaa zakeee akifurahia Muziki mzuri
Aneth Kushaba (wa kwanza kulia)akiimba kwa Furaha kuwapa burudani mashabiki wake ndani ya Thai village
Mary Lukos Akiimba Kwa Hisia kaliii Huku akipewa sapoti na Wenzake kushoto
Sony Masamba(mutoto ya Congo)akiimba kwa Raha zakee ndani ya Thai Village
Joniko Flower(mutu Ya Congo)Akizipiga zile vokali kaliii za kilingala ndani ya Thai Village
Vijana wa Skylight Band Joniko Flower(wa Kwanza Kushoto)Sony Masamba (katikati)Na Sam Mapenzi Wa mwisho kulia wakiyarudi mauno vilivyo kutoa burudani kwa mashabiki wao
Weweee Joniko Flower Akiwaongoza Wenzake kutoa burudani
Muziki ni raha na Hisia kama Sam mapenzi(wa kwanza kulia)anavyoonekana akiyarudi mauno kwa rahaa zake
Hebu tazama mashabiki hawa wakiwa na mshangao wa furahaaaa kupata muziki mzuriiiiiiii huku wakichezaaaa kwa raha zaoooo
Hahaha Vijana wa Skylight hwa nao hakusita kucheza muziki mzuriiii uliokuwa ukiporomoshwa
Imma Mpiga Gita wa Skylight Band akizichana nyuzi vilivyooo ili kutoa burudani ya nguvuuuuuuu
Idrisa akizipiga drumsss zake kuleta redha ya muziki mzuriiiiiiiiii
Wapiga Kinanda wa Skylight Band wakifurahia ukodak wa nguvuuuu
Mpiga kinanda wa Skylight Band akivipiga vitufee vya kinandaa kwa rahaaa kabisa
Mpiga Tumba wa Skylight Band Daudi Tumba kitia ladha zake za tumba
Haya Skylight Band Huwa inawapenda sana mashabiki wake kama pichani inavyoonekana mashabiki hupata mda na wasaa wa kusheherekea siku zao za kuzali kwa kuimbiwa na kukata keki,Operation Manager Wa Mo Blog Zainul Mzige akilishwa keki ya Birthday kwa rahaa kabisaaa
Burudani imenoga sasa Hebu jionee mwenyewe mashabiki hawa wakiyarudiiii vya kutoshaaa kwa rahaaa zaoooo
Hahahaha Ni furahaaa na Kucheza muziki tuuuu jionee mwenyewe hapa
Mpaka juu mpaka juuuuuu kwa rahaaa zao kabisa mashabiki hawaaaaa
Hapoooo sasa ni viunoooo viunoooo mpaka basiiii,wakifurahia muziki mzuri toka kwa bendi yao Skylight
Safi sanaaaaa Unaona kiunoooo kileeee mwisho katikati ni furaha ya muziki mzuri wa skylight Band
Mashabiki wakiendelea kufurahia muziki mzuriiiii
Tazama shabiki huyuuuu akifurahi na kushangaaa baada ya kupigwa moja ya nyimbo anazopendaaa
Hapo sasaaaaa unaambiwa mwanamke nyongaaaaaa
Mikono juuu mikono juuuuu mashabiki wakichezeshwa muziki na waimbaji wa Skylight Band
Nyomiiiiiii lakutoshaaaaa wakifurahia burudaniiii kwa raha zaooooo
Wanamanyoya haoooo wakipata Ukodak wa Nguvuuuuuuuuu
Operation Manager wa Mo Blog Zainul Mzige(wa pili toka kushoto) akipata ukodak na wanamanyoya
Cathbert Kajuna Mmiliki wa KajunaSon Blog(wa kwanza Kushoto)akiwa na Hussein mmiliki wa Ujanatz Blog Na Makubwa Haya Blog nas mkewe kulia wakipata Ukodak wa Nguvu
Le Mutuz Baharia mmiliki wa Blog ya wanainchi akipata ukodak na Aneth Kushaba meneja wa skylight Band,Usikoseeee Leo kutakuwa na Supriseeee Kibaoooooooo Ndani ya Thai Village
Hashimu Donode Akiimba kwa raha zake ndani ya Thai Village
Shabiki huyu hakuweza kujizuia hisia zake pale alipoguswa na muziki mzuri uliokuwa ukiimbwa na Hashimu Donode
Donode Akiendelea kuimba na shabiki wake kwa Raha zaooooo
Digna Mpera akizipiga zile voca; kali za kumtoa nyoka pangoni
Mary Lukos Akifurahi na kucheza ala nzuriiii toka kwa wapiga vyombo wa Skylight Band Hawapo Pichani
Mary Lukos Kwa Rahaaaa zakeee akifurahia Muziki mzuri
Aneth Kushaba (wa kwanza kulia)akiimba kwa Furaha kuwapa burudani mashabiki wake ndani ya Thai village
Mary Lukos Akiimba Kwa Hisia kaliii Huku akipewa sapoti na Wenzake kushoto
Sony Masamba(mutoto ya Congo)akiimba kwa Raha zakee ndani ya Thai Village
Joniko Flower(mutu Ya Congo)Akizipiga zile vokali kaliii za kilingala ndani ya Thai Village
Vijana wa Skylight Band Joniko Flower(wa Kwanza Kushoto)Sony Masamba (katikati)Na Sam Mapenzi Wa mwisho kulia wakiyarudi mauno vilivyo kutoa burudani kwa mashabiki wao
Weweee Joniko Flower Akiwaongoza Wenzake kutoa burudani
Muziki ni raha na Hisia kama Sam mapenzi(wa kwanza kulia)anavyoonekana akiyarudi mauno kwa rahaa zake
Hebu tazama mashabiki hawa wakiwa na mshangao wa furahaaaa kupata muziki mzuriiiiiiii huku wakichezaaaa kwa raha zaoooo
Hahaha Vijana wa Skylight hwa nao hakusita kucheza muziki mzuriiii uliokuwa ukiporomoshwa
Imma Mpiga Gita wa Skylight Band akizichana nyuzi vilivyooo ili kutoa burudani ya nguvuuuuuuu
Idrisa akizipiga drumsss zake kuleta redha ya muziki mzuriiiiiiiiii
Wapiga Kinanda wa Skylight Band wakifurahia ukodak wa nguvuuuu
Mpiga kinanda wa Skylight Band akivipiga vitufee vya kinandaa kwa rahaaa kabisa
Mpiga Tumba wa Skylight Band Daudi Tumba kitia ladha zake za tumba
Haya Skylight Band Huwa inawapenda sana mashabiki wake kama pichani inavyoonekana mashabiki hupata mda na wasaa wa kusheherekea siku zao za kuzali kwa kuimbiwa na kukata keki,Operation Manager Wa Mo Blog Zainul Mzige akilishwa keki ya Birthday kwa rahaa kabisaaa
Burudani imenoga sasa Hebu jionee mwenyewe mashabiki hawa wakiyarudiiii vya kutoshaaa kwa rahaaa zaoooo
Hahahaha Ni furahaaa na Kucheza muziki tuuuu jionee mwenyewe hapa
Mpaka juu mpaka juuuuuu kwa rahaaa zao kabisa mashabiki hawaaaaa
Hapoooo sasa ni viunoooo viunoooo mpaka basiiii,wakifurahia muziki mzuri toka kwa bendi yao Skylight
Safi sanaaaaa Unaona kiunoooo kileeee mwisho katikati ni furaha ya muziki mzuri wa skylight Band
Mashabiki wakiendelea kufurahia muziki mzuriiiii
Tazama shabiki huyuuuu akifurahi na kushangaaa baada ya kupigwa moja ya nyimbo anazopendaaa
Hapo sasaaaaa unaambiwa mwanamke nyongaaaaaa
Mikono juuu mikono juuuuu mashabiki wakichezeshwa muziki na waimbaji wa Skylight Band
Nyomiiiiiii lakutoshaaaaa wakifurahia burudaniiii kwa raha zaooooo
Wanamanyoya haoooo wakipata Ukodak wa Nguvuuuuuuuuu
Operation Manager wa Mo Blog Zainul Mzige(wa pili toka kushoto) akipata ukodak na wanamanyoya
Cathbert Kajuna Mmiliki wa KajunaSon Blog(wa kwanza Kushoto)akiwa na Hussein mmiliki wa Ujanatz Blog Na Makubwa Haya Blog nas mkewe kulia wakipata Ukodak wa Nguvu
Le Mutuz Baharia mmiliki wa Blog ya wanainchi akipata ukodak na Aneth Kushaba meneja wa skylight Band,Usikoseeee Leo kutakuwa na Supriseeee Kibaoooooooo Ndani ya Thai Village