Pages

KAPIPI TV

Thursday, August 2, 2012

BALOZI WA JAPAN NCHINI TANZANIA BW.MASAKI OKADA ATEMBELEA OFISINI KWA MKUU WA MKOA WA TABORA

 Mkuu wa mkoa wa Tabora Bi. Fatma Mwassa akimkaribisha balozi wa Japan nchini Tanzania Bw.Masaki Okada wakati alipomtembelea Ofisini kwake
Mkuu wa mkoa wa Tabora Bi.Fatma Mwassa akizungumza na balozi wa Japan nchini Tanzania Bw.Masaki Okada wakati al;ipomtembelea Ofisini kwake.
Balozi wa Japan nchini Tanzania Bw.Masaki Okada akiwa na mwenyeji wake Mkuu wa mkoa wa Tabora Bi.Fatma Mwassa pamoja na maafisa wa Shirika la UNHCR. 

No comments: