Pages

KAPIPI TV

Saturday, July 28, 2012

WAANDISHI WA HABARI MIKOA YA KANDA YA ZIWA WAPATA MAFUNZO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI-JIJINI MWANZA

 Baadhi ya waandishi wa habari wa mikoa ya kanda ya ziwa wakiwa katika mafunzo ya Sensa ya watu na makazi katika hotel ya Annox jijini Mwanza,Afisa uhamasishaji wa Sensa nchini Said Amier akitoa mada katika mafunzo hayo.
 Waandishi wa habari wakisikiliza kwa makini mafunzo ya Sensa ya watu na makazi yanayotolewa kwa muda wa siku mbili jijini Mwanza kwa waandishi wa habari mikoa ya kanda ya Ziwa.
 Mkuu wa mkoa wa Mwanza Injinia Evarist Ndikilo wakati akifungua mafunzo ya Sensa ya watu na makazi kwa waandishi wa habari  mikoa ya kanda ya Ziwa,ambapo mkuu huyo aliwataka waandishi hao kuelimisha umma umuhimu wa Sensa ya watu na makazi na kuwaepusha na dhana ya kuhusisha zoezi la Sensa na masuala ya kisiasa na kidini. 
 Waandishi wa habari wakimsikiliza kwa makini mkuu wa mkoa wa Mwanza Injinia Ndikilo wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo ya Sensa yanayofanyika kwa muda wa siku mbili.
Picha ya pamoja mkuu wa mkoa wa Mwanza na waandishi wa habari wa mkoa wa Mara wakati wa mafunzo hayo.

No comments: