Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohd Aboud Mohamed
akifafanua jambo alipozungumza na Maaskofu mbalimbali kufuatia vurugu zilizotokea Zanzibar za kuchomwa Moto kwa Makanisa
mbalimbali,huko katika Ukumbi wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa
Zanzibar.
Ukumbi wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa
Rais wa Zanzibar,
Askofu Mkuu wa Anglican
Tanzania Dk Valentine Mokiwa katika mazungumzo ya pamojakuhusu vurugu zilizojitokeza Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mohd
Aboud Mohamed wa kwanza kushoto akisalimiana na Askofu Mkuu wa Anglican
Tanzania Dk Valentine Mokiwa baada ya kumalizika kwa mazungumzo yao pamoja
na Maaskofu mbalimbali,huko katika Ukumbi wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa
Rais wa Zanzibar.
Askofu Mkuu wa Anglican Tanzania Dk Valentine Mokiwa akifanya
mahojiano na Mwandishi wa BBC kuhusiana na matatizo yaliotokezea
Zanzibar ya kuchomwa Moto kwa Makanisa mbalimbali,huko katika Ukumbi
wa Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.
No comments:
Post a Comment