WaziriMkuu, Mizengo Pinda akitoa maelezo kuhusu kifaa maalum
kinachotumika kukamuwa asali kutoka kwenye masega wakati Wakuu wa Mikoa
na Wilya pamoja na Makatibu Tawala wa Mikoa walipotembelea mradi wake
wa ufugaji nyuki,eneola Zuzu Dodoma, May 29,2012.(Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Wakuu wa Mikoa na Wilaya pamoja na Makatibu Tawala wa Mikoa
wakitembelea mradi wa ufugaji nyuki katika Shamba la Waziri Mkuu,
Mizengo Pinda lililopo eneo la Zuzu Dodoma May 29,2012. Viongozi hao
wako Dodoma kwa semina. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Wakuu wa Mikoa na Wilaya pamoja na Makatibu Tawala wa Mikoa
wakitembelea mradi wa ufugaji nyuki katika Shamba la Waziri Mkuu,
Mizengo Pinda lililopo eneo la Zuzu Dodoma May 29,2012. Viongozi hao
wako Dodoma kwa semina.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment