Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais
Allasane Ouattara wa
Ivory Coast wakitembea kwa miguu kuelekea kwenye sehemu waliyotengewa
kufanyia mazungumzo rasmi katika hoteli ya Ngurdoto jijini Arusha leo
May 30, 2012 ambako Rais huyo wa Ivory Coast amefika kuhudhuria mkutano
wa afDB ambao unbafunguliwa rasmi kesho na Rais Kikwete katika ukumbi wa
AICC. Katika maongezi yao Rais Kikwete amesema Tanzania inaunga mkono
juhudi za Ivory Coast za kutaka kurejesha nchini humo makao makuu ya
afDB ambayo yamehamia Tunisia kutokana na vurugu zilizotokea Abidjan
baada ya uchaguzi mkuu mwaka jana.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Allasane Ouattara wa
Ivory Coast wakiangalia shamba la kahawa wakati wakielekea kwenye
sehemu waliyotengewa kufanyia mazungumzo rasmi katika hoteli ya Ngurdoto
jijini Arusha leo May 30, 2012 ambako Rais huyo wa Ivory Coast amefika
kuhudhuria mkutano wa afDB ambao unbafunguliwa rasmi kesho na Rais
Kikwete katika ukumbi wa AICC. Katika maongezi yao Rais Kikwete amesema
Tanzania inaunga mkono juhudi za Ivory Coast za kutaka kurejesha nchini
humo makao makuu ya afDB ambayo yamehamia Tunisia kutokana na vurugu
zilizotokea Abidjan baada ya uchaguzi mkuu mwaka jana.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Allasane Ouattara wa
Ivory Coast wakiangalia shamba la kahawa wakati wakielekea kwenye
sehemu waliyotengewa kufanyia mazungumzo rasmi katika hoteli ya Ngurdoto
jijini Arusha leo May 30, 2012 ambako Rais huyo wa Ivory Coast amefika
kuhudhuria mkutano wa afDB ambao unbafunguliwa rasmi kesho na Rais
Kikwete katika ukumbi wa AICC. Katika maongezi yao Rais Kikwete amesema
Tanzania inaunga mkono juhudi za Ivory Coast za kutaka kurejesha nchini
humo makao makuu ya afDB ambayo yamehamia Tunisia kutokana na vurugu
zilizotokea Abidjan baada ya uchaguzi mkuu mwaka jana.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Allasane Ouattara wa
Ivory Coast wakiwa katika mazungumzo rasmi katika hoteli ya Ngurdoto
jijini Arusha leo May 30, 2012 ambako Rais huyo wa Ivory Coast amefika
kuhudhuria mkutano wa afDB ambao unbafunguliwa rasmi kesho na Rais
Kikwete katika ukumbi wa AICC. Katika maongezi yao Rais Kikwete amesema
Tanzania inaunga mkono juhudi za Ivory Coast za kutaka kurejesha nchini
humo makao makuu ya afDB ambayo yamehamia Tunisia kutokana na vurugu
zilizotokea Abidjan baada ya uchaguzi mkuu mwaka jana.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Allasane Ouattara wa
Ivory Coast wakipiga picha ya pamoja katika hoteli ya Ngurdoto
jijini Arusha leo May 30, 2012 ambako Rais huyo wa Ivory Coast amefika
kuhudhuria mkutano wa afDB ambao unbafunguliwa rasmi kesho na Rais
Kikwete katika ukumbi wa AICC. Katika maongezi yao Rais Kikwete amesema
Tanzania inaunga mkono juhudi za Ivory Coast za kutaka kurejesha nchini
humo makao makuu ya afDB ambayo yamehamia Tunisia kutokana na vurugu
zilizotokea Abidjan baada ya uchaguzi mkuu mwaka jana.
No comments:
Post a Comment