Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha
Makamu wa Rais wa Iran, Mhe. Mohammad Reza Rahimi, wakati alipowasili
Ofisini kwake Ikulu Dar es Salaam kwa mazungumzo leo Mei 30, 2012.
Makamu wa Rais wa Iran amewasili nchini kwa ajili ya ziara ya kikazi ya
siku tatu. Picha na Muhidin Sufiani-OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipokea zawadi kutoka kwa Makamu wa Rais wa Iran, Mhe. Mohammad Reza Rahimi, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika Ofisini kwa Makamu Ikulu Dar es Salaam, leo Mei 30,2012, (kulia) ni Waziri wa Kazi wa Iran, Sheykhales Lam (kushoto) ni Mkarimani wa Makamu wa Rais wa Iran.Makamu wa Rais wa Iran amewasili nchini kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku tatu. Picha na Muhidin Sufiani-OMR
Makamu wa Rais wa Iran, Mhe. Mohammad Reza Rahimi, akiweka saini katika kitabu cha Ofisi
ya Makamu wa Rais wa Jmahuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed
Gharib Bilal, (katikati) wakati alipofika Ofisini kwake kwa ajili ya
mazungumzo leo Me 30, 2012. Kuliani Waziri wa Kazi wa Iran, Sheykhales
Lam. Makamu wa Rais wa Iran amewasili nchini kwa ajili ya ziara ya
kikazi ya siku tatu.Picha na Muhidin Sufiani-OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipokea zawadi kutoka kwa Makamu wa Rais wa Iran, Mhe. Mohammad Reza Rahimi, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika Ofisini kwa Makamu Ikulu Dar es Salaam, leo Mei 30,2012, (kulia) ni Waziri wa Kazi wa Iran, Sheykhales Lam (kushoto) ni Mkarimani wa Makamu wa Rais wa Iran.Makamu wa Rais wa Iran amewasili nchini kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku tatu. Picha na Muhidin Sufiani-OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal,akiongozana na Makamu wa Rais wa Iran, Mhe. Mohammad Reza Rahimi,
wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu Dar es Salaam leo, Mei 30, 2012
kwa ajili ya mazungumzo. Makamu wa Rais wa Iran amewasili nchini kwa
ajili ya ziara ya kikazi ya siku tatu.Picha na Muhidin Sufiani-
OMR
OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal,akiagana na Makamu wa Rais wa Iran, Mhe. Mohammad Reza Rahimi,
baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika Ofisini kwa Makamu Ikulu
Dar es Salaam, leo Mei 30, 2012. Makamu wa Rais wa Iran amewasili
nchini kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku tatu. Picha
na Muhidin Sufiani-OMR
na Muhidin Sufiani-OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilalna Makamu wa Rais wa Iran, Mhe. Mohammad Reza Rahimi, wakiwa
katika mazungumzo maalum, katika ukumbi wa Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro
Dar es Salaam leo Mei 30, 2012. Makamu wa Rais wa Iran amewasili
nchini kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku tatu.Picha na Muhidin
Sufiani-OMR
No comments:
Post a Comment